Home Makala Lwanadamina Aanza Rasmi

Lwanadamina Aanza Rasmi

by Sports Leo
0 comments

Kocha mpya wa Azam FC, Mzambia George Lwandamina, ameanza rasmi kazi ya kukinoa kikosi cha timu hiyo leo Alhamisi, ikiwa ni mara yake ya kwanza tangu ajiunge rasmi na vijana hao wa Chamazi mapema wiki iliyopita.

Lwandamina ana kazi kubwa ya kufanya kukiweka sawa kikosi hicho kilichokosa mwelekeo baada ya kupoteza uongozi wa ligi ikizidiwa alama saba na vinara Yanga sc huku wakiwa wamecheza michezo sawa 14.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited