Home Makala Lwandamina Anukia Azam Fc

Lwandamina Anukia Azam Fc

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Azam Fc imeonyesha nia ya kumchukua kocha George Lwandamina kuifundisha klabu hiyo baada ya kumtimua kocha Arstica Cioaba kutokana na matokeo yasiyoridhisha.

Taarifa za ndani zinadai kuwa upo uwezekano mkubwa wa kumchukua kocha huyo wa zamani wa Yanga sc na Zesco United ili kujiunga na timu hiyo iliyoanza msimu huku pia ikiangalia uwezekano wa kumchukua Mwinyi Zahera endapo itamkosa mzambia huyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited