Lyon wamepanga kukata rufaa ya kupinga maamuzi ya kuhitimishwa kwa Ligue 1 mapema kitu ambacho kimeifanya klabu hiyo kushindwa kufuzu mashindano ya Ulaya (European Football) kwa mara ya kwwnza tangu mwaka 1997 .
Timu zilizofuzu mashindano ya ligi ya mabingwa (champion league) ni PSG, Marseille, na Rennes huku zilizofuzu kucheza ligi ya mabingwa ulaya (Eaurope League) ni lille,Reims na Nice.
Katika msimamo wa ligi kuu ya ufaransa Lyon ipo nafasi ya 7 ikiwa na pointi 40 kibindoni katika mechi 28 alizocheza kabla ya kusimamishwa na serikali ili kupambana na maambukizi ya corona.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.