Home Makala Lyon Waipa Kichapo Juventus Cha Bao 1-0

Lyon Waipa Kichapo Juventus Cha Bao 1-0

by Sports Leo
0 comments

Juventus wameinamishwa kichwa chini baada ya kufungwa bao 1-0 na Lyon katika mchezo uliosimamiwa na refa Jesus Gil kutoka Spain katika uwanja wa Groupama Stadium.

Bao la ushindi  wa kipekee kutoka Lyon  lililodumu hadi dakika 90 za mchezo lilifungwa kupitia Lucas Tousart dakika ya 31.

Lyon hawakuachwa nyuma kupewa kadi ya njano kwa wachezaji wake wawili ambao ni Marcelo dakika ya 28 na dakika ya 61 Maxwel Cornet huku Juventus wakiwa wameponea chupuchupu.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited