Home Makala Man United Wamalizana Na Donny Van De Beek

Man United Wamalizana Na Donny Van De Beek

by Sports Leo
0 comments

Manchester United imekamilisha usajili wa mchezaji Donny van de Beek kwa ada ya Paundi Milioni 40 ambayo inaelezwa kuwa atalipwa paundi 107,000 kwa wiki.

Van de Beek amesaini kandarasi ya miaka mitano ndani ya mashetani hao wekundu akitokea klabu ya Ajax ya Uholanzi huku akipewa jezi namba 34.

Usajili huu unakuwa wa kwanza kwa Kocha Ole Gunnar Solskjaer katika usajili wa 2020/2021 ambapo Van de Beek anatarajiwa kutengeneza muunganiko mzuri katika nafasi ya kiungo akishirikiana na Paul Pogba pamoja na Bruno Fernandes.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited