Home Makala Manchester Waibuka Kidedea Old Traford.

Manchester Waibuka Kidedea Old Traford.

by Sports Leo
0 comments

Manchester wamejizolea ushindi wa mabao 4-0 kutoka kwa Norwich City mchezo uliochezwa jana uwanja wa Old Traford.

Mabao mawili yalifungwa na Marcus Rashford la kwanza dakika ya 22 na bao la pili dakika ya 52 kwa njia  penalti.

Antony Martial aliongeza bao la tatu dakika ya 53 na Mason Greenwood akamaliza siku nzuri kwa mashetani wekundu  dakika ya 78.

banner

Manchester imefikia jumla ya pointi 34 ikiwa nafasi ya tano huku Norwich ikibaki na pointi zake 14 ikiburuza mkia kwenye nafasi ya 20.

Ulikuwa ushindi mzuri kwa wachezaji wa Reds na Ole Gunnar Solsjaer alifurahi kuwa na washambuliaji wenye malengo ya kujiimarisha.

 

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited