Home Makala Mayanja Apata Mrithi KMC

Mayanja Apata Mrithi KMC

by Sports Leo
0 comments

Kocha wa zamani KMC Jackson Mayanja apata mrithi wake Haruna Harerimana aliyesainishwa kunoa kikosi hicho kwa kandarasi ya mwaka mmoja na miezi nane.

Jackson Mayanja alisitishiwa mkataba wake baada ya bodi ya KMC kuona timu kutokuwa na matokeo mazuri kwenye ligi na kimataifa.

Mwenyekiti wa bodi ya KMC amesema ana imani na Haruna Harerimana atarudisha morali na hali ya kujiamini kwa timu kwani ameshaanza kazi ya kuinoa kwa ajili ya mmashindano ya ligi kuu na kombe la shirikisho Azam.

banner

Mechi yake ya kwanza itakuwa dhidi ya Mtibwa Sugar katika uwanja wa Uhuru kwenye mchezo wa kombe la Azam.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited