Home Makala Mayweather Kurudi Tena Ulingoni

Mayweather Kurudi Tena Ulingoni

by Sports Leo
0 comments

Bondia kutoka Marekani Floyd Mayweather ameamua kuwasuuza moyo masahabiki wake baada ya kukaa kwa muda mrefu bila kuona pambano jingine kutoka kwake na hivyo ametangaza  kwenye kurasa yake ya istagram kuwa amejiandaaa tena kuingia ulingoni kupambana dhidi ya Conor Mcgregor na khabib Nurmagomedov.
Mayweather ambaye ni nguli wa ndondi kutoka Marekani aliweza kumshinda M-Ireland  huko Las Vegas Agosti 2017 katika pambano la raundi 10.
Dana White ambaye ni bosi wa UFC, amethibitisha kuwepo kwa pambano hilo kwani mazungumzo yameshaanza ambapo mwanzoni mwa wiki hii McGregor aliongea kuhusu azma yake ya kupambana tena na Mayweather.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited