Home Makala Mbelgiji Awekwa Kitimoto Yanga.

Mbelgiji Awekwa Kitimoto Yanga.

by Sports Leo
0 comments

Mabingwa wa kihistoria Yanga wamemleta kocha mpya Luc Eymael kutoka Ubelgiji nchini Januari 9 ambapo alitua saa tisa alasiri na kuunganishwa moja kwa moja Zanzibar kutazama vijana wake.

Luc Eymael amepewa wakati mgumu kwa sasa baada ya kuwekwa kitimoto cha kusaini mkataba wa miezi sita kwa ajili ya kutazamiwa kama anaweza kuirudisha Yanga ya 1935.

Bodi ya Yanga imeweka bayana mkataba huo kuanza rasmi Jumatano 15 ,ambapo Yanga vs Kagera Sugar watacheza katika uwanja wa Taifa saa moja jioni.

banner

Kocha huyo hakuwa na lakusema ila kuhitaji majina ya wachezaji wanne kwanza ili atazame maendeleo yao,na kujua wapi pakuanzia.

 

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited