Home Makala Mbelgiji Simba Ahesabiwa Siku

Mbelgiji Simba Ahesabiwa Siku

by Dennis Msotwa
0 comments

Kocha mkuu wa Simba Sc Sven Vanderbroeck amewekwa kitimoto na mabosi wa klabu hiyo kutokana na kutokufurahishwa na utendaji wake wa kazi katika timu kwani haileti msisimuko kama awali kwa mashabiki.

Sven anahesabiwa siku tu katika kikosi cha Simba iwapo hatakubali kurekebisha dosari zake katika timu inayoongoza nafasi ya kwanza kwenye msimamo wa ligi kuu ikiwa na pointi 50.

Mabosi wa Simba walianza msako wa kumtafuta kocha mwingine ambapo walimpendekeza kocha wao wa zamani Goran Kopunovic lakini tayari alishachukuliwa kufundisha timu nyingine Eritrea.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited