Home Makala Mbeya City Wapigwa 4G Na KMC

Mbeya City Wapigwa 4G Na KMC

by Sports Leo
0 comments

KMC imeibuka na ushindi wa mabao 4-0 mbele ya Mbeya City kwenye mchezo wa ligi kuu bara uliochezwa leo Septemba7 uwanja wa Uhuru.

Mabao ya KMC yalipachikwa na Israel Patrick dakika ya 21 huku lile la pili lilifungwa dakika ya 39 na Hassan Kibunda.

Kipindi cha pili cha mchezo Abdul Hilary wa KMC alipachika bao la tatu kwa pasi ya David Bryson dakika ya 5 na Paul Peter alimalizia mkuki wa mwisho dakika ya 74 kwa pasi ya Kabunda.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited