40
Beki wa klabu ya Lipuli FC ,David Kameta ‘Duchu’ inaelezwa kuwa amesaini kandarasi ya miaka miwili ndani ya klabu ya Simba.
Duchu amekuwa kwenye ubora wake ndani ya Lipuli ambapo amefunga mabao matatu na kutoa pasi saba za mabao.
Lipuli imeshuka daraja baada ya kufikisha pointi 44 ikiwa nafasi ya 18 hivyo msimu ujao itashiriki Ligi Daraja la Kwanza.