Home Makala Mchezaji Huyu Ajifunga Miaka Miwili Simba

Mchezaji Huyu Ajifunga Miaka Miwili Simba

by Sports Leo
0 comments

Beki wa klabu ya Lipuli FC ,David Kameta ‘Duchu’ inaelezwa kuwa amesaini kandarasi ya miaka miwili ndani ya klabu ya Simba.

Duchu amekuwa kwenye ubora wake ndani ya Lipuli ambapo amefunga mabao matatu na kutoa pasi saba za mabao.
Lipuli imeshuka daraja baada ya kufikisha pointi 44 ikiwa nafasi ya 18 hivyo msimu ujao itashiriki Ligi Daraja la Kwanza.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited