Home Makala Messi Aanza Tena Mazoezi Barcelona

Messi Aanza Tena Mazoezi Barcelona

by Sports Leo
0 comments

Lionel Messi ambaye ni mchezaji namba moja aliyeifungia mabao mengi Barcelona amerejea mazoezini jana baada ya jaribio lake la kulazimisha kuondoka kushindikana.

Kufika kwa muargentina huyo na kufanya mazoezi inakuwa ni mara ya kwanza tangu kuwasili kwa meneja mpya wa klabu hiyo,Ronald Koeman.

Barcelona itakuwa na mechi ya kwanza Septemba 27 ambapo itachuana vikali na Villarreal kutoka La liga.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited