Home Makala Mjumbe Yanga Ajiuzulu

Mjumbe Yanga Ajiuzulu

by Sports Leo
0 comments

Mjumbe wa kamati ya Utendaji Yanga, Shija Richard Shija ametangaza kujiuzulu nafasi zake zote katika klabu ya Yanga Sc baada ya sakata la GSM kujiengua na ofa zilizopo nje ya mkataba.

“Nimeamua kwa hiari yangu kujiuzulu nafasi zote za uongozi katika klabu yangu ,Yanga ni kubwa kuliko mimi na kuliko mtu yeyote .Yamezungumzwa mengi lakini mimi sitazungumza chochote”alisema Shija

Aliongeza kwa kusema ukweli hata usipousema huwa una tabia ya kujitokeza wenyewe japo taratibu lakini huwa unadumu milele.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited