Home Makala Mo Dewji Atoa Kauli Simba

Mo Dewji Atoa Kauli Simba

by Sports Leo
0 comments

Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa Simba Sc,Mohammed Dewji ambaye pia ni mwekezaji wa simba amewaambia wekundu hao wa msimbazi wajipange kwa ajili ya kombe la shirikisho la Azam (ASFC) linalotarajiwa kufanyika Agosti 2,mkoani Sumbawanga katika uwanja wa kumbukumbu wa Nelson Mandela.

Mwekezaji huyo amewatia moyo Simba  baada ya jana kupoteza alama tatu mbele ya Mbao Fc kwa kipigo cha mabao 3-2 na anaamini kuwa wanaweza kutwaa ubingwa wa ASFC.

“Tusonge mbele tujipange kwa ajili ya fainali ya kombe la shirikisho ASFC) Agosti2,2020.Simba Nguvu Moja”alisema Dewji

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited