Home Makala Morrison Simba Kuwavaa Yanga

Morrison Simba Kuwavaa Yanga

by Sports Leo
0 comments

Ratiba mpya ya msimu ujao wa ligi kuu Tanzania bara umewapa miezi miwili wachezaji wapya waliosajiliwa Simba Sc na Yanga Sc kabla ya kukutana katika mechi ya watani ,uwanja wa Mkapa.

Timu hizo zitakuwa na muda wa siku 60 wa kujiandaa kwani ni mchezo ambao utakuwa na sura mpya kwa timu zote mbili kutokana na usajili uliofanyika katika dirisha hili kubwa.

Kutoka kwa ratiba hiyo kunampa pia Siku 60 aliyekuwa mchezaji wa Yanga ,Benard Morrison ambaye kwa sasa anavaa uzi mwekundu na mweupe kutafakari zaidi jinsi gani atawamaliza mabosi zake uwanjani au kuwaacha salama katika mchezo huo ambao hata onekana katika vazi la Jangwani bali la Simba Sc.

banner

 

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited