Screenshot 20250203 203855 Instagram

Morrison Bado Sana

Pamoja na shauku ya mashabiki wa klabu ya Kengold Fc kumuona uwanjani mshambuliaji wao mpya Bernard Morrison itawalazimu kusubiri kwa muda kutokana na staa huyo kutokua fiti kutumika katika michezo ya ligi kuu nchini. Punde tu baada ya kusajiliwa kocha wa timu hiyo Vladislav Heric aliamuru staa huyo kupewa mazoezi maalumu ili kurejesha utimamu wake…

Soma Zaidi
Snapinsta.app 458468120 8562008887185139 2514712878345269732 n 1080

Morrison Aungana na Mashujaa Fc

Mshambuliaji wa zamani wa vilabu vya Simba sc na Yanga sc Benard Morrison amejiunga na klabu ya mashujaa Fc ambayo ipo jijini Dar es salaam kwa mazoezi ya gym akijiweka fiti baada ya kupona majeraha yake yaliyomfanya akae nje kwa takribani miezi sita akiugulia. Mchezaji huyo mwenye vituko alijiunga na klabu ya Far Rabat iliyokua…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks