Home Makala Mourinho Amtakia Eriksen Maisha Ya Furaha

Mourinho Amtakia Eriksen Maisha Ya Furaha

by Sports Leo
0 comments

Kocha mkuu wa Tottenham Hotspur Jose Mourinho ameamua kumuaga mchezaji wake Christian Eriksen kwa kumtaka aondoke akiwa na furaha kwani mara kwa mara tetesi zilikuwa zikitajwa kuwa anataka kuondoka kwenye timu hiyo kwenye usajili wa Januari.

Christian Eriksen alionekana juzi akiwaaga wachezaji wenzake na mashabiki wa timu hiyo wakati Spurs ilipokuwa ikicheza na Middlesbrough kwenye mchezo wa kombe la FA pia kumpatia shabiki jezi yake aliyoitumia kwenye mchezo huo.

“Nafikiri anatakiwa kuondoka hapa akiwa na furaha ,ni mchezaji mkubwa ,mtiifu akiwa mazoezini pia amekuwa akionyesha kiwango cha juu sana kwenye kila mchezo”alisema Jose Mourinho.

banner

Eriksen anatarajiwa kuondoka kwenye timu hiyo na kujiunga na Inter Milan kama iliyosemekana walikuwa wakimuhitaji mchezaji huyo.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited