Home Makala Mshahara Straika Yanga sc Usipime

Mshahara Straika Yanga sc Usipime

by Sports Leo
0 comments

Yanga bado inajiuliza kuhusu kumsajili mshambuliaji wa klabu ya Nkana Fc ya nchini Zambia Idriss Mbombo kutokana na mshambuliaji huyo kuhitaji mshahara wa kufuru.

Inadaiwa tayari makamu mwenyekiti wa kamati ya usajili klabuni hapo Eng.Hersi Said amezungumza na staa huyo lakini kikwazo kikubwa ni mshahara wa dola elfu kumi anaohitaji mshambuliaji huyo ndio unawapa kigugumizi mabosi wa jangwani kwani ni mshahara ambao analipwa kocha Cedrick Kaze.

Ikiwa dili hilo litashindikana basi timu hiyo itaangalia uwezekano wa kumsajili mshambuliaji wa zamani wa Rangers ya Ufaransa Ferebory Dore.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited