Home Makala Munene Aongeza Mkataba AFC Leopards

Munene Aongeza Mkataba AFC Leopards

by Sports Leo
0 comments

AFC Leopard imemuongezea mkataba mpya wa miaka miwili beki,Washington Munene ambaye alikuwa nyota wa zamani wa Nairobi Stima.

Munene aliingia kambini mwa Leopard mwanzoni mwa msimu wa 2019/2020 baada ya kuagana na Wazito Fc kwa mkopo.

Beki huyo anakamilisha idadi ya wachezaji watatu baada ya kiungo Collins Sichenje na raia wa Uganda,Benjamin Ochan kurefusha mkataba wake kambini humo.

banner

Leopards kwa sasa wanashiriki mazungumzo na fowadi Elvis Rupia kuhusu uwezekano wa kutia saini mkataba mpya baada ya kandarasi yake ya awali kumalizika Aprili 2020.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited