Home Makala Mwendwa Mali Rasmi Ya Leopards

Mwendwa Mali Rasmi Ya Leopards

by Sports Leo
0 comments

AFC Leopard ya kenya imekamikisha usajili wa mshambuliaji,Harrison Mwendwa kutoka Kariobangi Sharks kwa mkataba wa kuitumikia klabu hiyo miaka miwili.

Leopard wamekuwa wakifanya usajili wao kimyakimya na kwa umakini wa hali ya juu kwa ajili ya msimu mpya wa nne wa ligi kuu Kenya(KPL) 2020/2021.

Mwendwa ameahidi kutoa ushirikiano kwa jinsi anavyoweza kuisapoti klabu yake hiyo mpya kufikia malengo msimu mpya wa KPL.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited