AFC Leopard ya kenya imekamikisha usajili wa mshambuliaji,Harrison Mwendwa kutoka Kariobangi Sharks kwa mkataba wa kuitumikia klabu hiyo miaka miwili.
Leopard wamekuwa wakifanya usajili wao kimyakimya na kwa umakini wa hali ya juu kwa ajili ya msimu mpya wa nne wa ligi kuu Kenya(KPL) 2020/2021.
Mwendwa ameahidi kutoa ushirikiano kwa jinsi anavyoweza kuisapoti klabu yake hiyo mpya kufikia malengo msimu mpya wa KPL.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.