Home Makala Namungo Waanza Na Jembe Hili

Namungo Waanza Na Jembe Hili

by Sports Leo
0 comments

Namungo Fc ya Lindi imeamua kumalizana na mchezaji kutoka Lipuli Fc,Fredy Tangalo ambaye amesaini kandarasi ya miaka miwili akiwa ni mchezaji huru baada ya mkataba wake kuisha.

Huu ni usajili wa kwanza kwa Namungo Fc  inayonolewa na kocha mkuu, Hitimana Thiery ambaye anawania tuzo ya kocha bora kwa msimu wa 2019/20.

Namungo inaimarisha kikosi chake kwa sasa kwa ajili ya msimu ujao ambapo imepata nafasi ya kushiriki mashindano ya Kimataifa baada ya kutinga fainali ya Kombe la Shirikisho na kukutana na bingwa wa ligi Simba.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited