Home Makala Ngassa Aingia Anga Za FDL

Ngassa Aingia Anga Za FDL

by Sports Leo
0 comments

Tetesi zinaeleza kuwa aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga Sc,Mrisho Ngassa yupo kwenye rada za kutua Kitayosce Fc ambayo inajiandaa kushiriki ligi daraja la kwanza msimu ujao.

Ngassa aliyewahi kucheza ndani ya Kagera Sugar,Azam Fc,Simba ,Ndanda na Mbeya City amemaliza msimu akiwa na mabao manne huko Jangwani.

Mshambuliaji huyo hakufanikiwa kuongezewa mkataba na mabosi wa Yanga Sc kutokana na kutokuwepo kwenye mpango wa msimu ujao wa ligi kuu bara ,licha ya kuwa na mapenzi mengi na klabu hiyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited