Home Makala Onyango Aigomea Simba sc

Onyango Aigomea Simba sc

by Sports Leo
0 comments

Beki wa klabu ya Simba sc Joash Onyango (28) raia wa amekataa ofa mpya aliyopewa na klabu ya Simba kwa ajili ya kuongeza mkataba mpya katika klabu hiyo hivi karibuni.
Beki huyo anataka aongezewe dau ili asaini mkataba mpya kwa wekundu wa Msimbazi kipindi hichi ambacho mkataba wake unaelekea ukingoni Wakati huohuo klabu ya Orlando Pirates ya nchini Afrika ya kusini   imeonesha nia ya kutaka saini yake.
Onyango amekua na msaada klabuni hapo tangu asajiliwe misimu miwili iliyopita akicheza na mabeki tofauti tofauti eneo la kati kama Kennedy Juma na Pascal Wawa na hivi karibuni ameanza kucheza eneo hilo na Henock Inonga.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited