Home Makala Pamba Jiji Yarudi kwa Yondani

Pamba Jiji Yarudi kwa Yondani

by Sports Leo
0 comments

Beki kisiki wa zamani wa klabu za Simba sc na Yanga sc Kelvin Patrick Yondani amejiunga na klabu ya Pamba Jiji Fc yenye makao yake jijini Mwanza ili kuongeza nguvu kuelekea mechi za raundi ya pili ya ligi kuu nchini.

Kocha Fred Felix Minziro ameona kuna umuhimu wa kumsajili mkongwe huyo ambaye alikua huru kutokana na kutofikia makubaliano na baadhi ya klabu za ligi kuu baada ya timu yake ya Geita Gold Fc kushuka daraja.

Tayari mchezaji huyo ameshakamilisha dili hilo na sasa amejiunga na kambibya timu hiyo kwa ajili ya maandalizi mbalimbali ya michezo ya ligi kuu nchini.

banner

Pamba Jiji Fc imeshinda mchezo mmoja pekee wa ligi kuu ikiwa na alama 11 katika nafasi ya 13 ya msimamo wa ligi kuu wakiwa wamecheza michezo 13.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited