Lebo: Pamba Jiji
Pamba Jiji Fc Yamvuta Bwalya
Kiungo mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Simba Sc Rally Bwalya yupo mbioni kukamilisha dili ya kujiunga na klabu ya Pamba Jijini Fc ya jijini Mwanza kwa mkataba mfupi wa miezi sita. Mabosi wa Pamba Jiji Fcwl wanapambana kukamilisha dili hilo mapema na tayari wapo nchini Zambia wakimalizana na mabosi wa Napsa Stars ya nchini…
Pamba Jiji Yarudi kwa Yondani
Beki kisiki wa zamani wa klabu za Simba sc na Yanga sc Kelvin Patrick Yondani amejiunga na klabu ya Pamba Jiji Fc yenye makao yake jijini Mwanza ili kuongeza nguvu kuelekea mechi za raundi ya pili ya ligi kuu nchini. Kocha Fred Felix Minziro ameona kuna umuhimu wa kumsajili mkongwe huyo ambaye alikua huru kutokana…
Simba Sc,Pamba Jiji Fc Watozwa Faini
Bodi ya ligi kuu nchini imewatoza faini ya Shilingi milioni tano kila mmoja klabu za Simba sc na Pamba Jiji Fc kutokana na kuvunja kanuni siku moja kabla ya mchezo wa ligi kuu uliozikutanisha timu hizo Novemba 22 mwaka huu. Katika mchezo huo uliofanyika katika uwanja wa Ccm Kirumba jijini Mwanza na Simba sc kuibuka…
Minziro Aikataa Penati ya Simba Sc
Kocha wa klabu ya Pamba Jiji ya jijini Mwanza Fred Felix Minziro ameikataa penati iliyopewa klabu ya Simba Sc katika mchezo wa ligi kuu baina ya timu hizo uliofanyika katika uwanja wa Ccm Kirumba jijini Mwanza na Simba sc kuibuka na ushindi wa 1-0. Katika Mchezo huo Simba sc ilipata penati dakika ya 23 baada…
Ateba Aimaliza Pamba Jiji Fc
Bao la penati dakika ya 23 la Lionel Ateba limeiwezesha klabu ya Simba Sc kuchukua alama tatu katika mchezo wa ligi kuu dhidi ya Klabu ya Pamba Jiji uliofanyika jioni ya leo katika uwanja wa Ccm Kirumba jijini Mwanza. Ateba alifunga bao hilo baada ya kupokea pasi ya Awesu Awesu na beki wa Pamba Jiji…
Tabora United Yainyuka Pamba Jiji
Hali imekua tete kwa klabu ya Pamba Jiji baada ya jioni ya leo kukubali kipigo cha 1-0 dhidi ya Tabora United katika mchezo wa ligi kuu ya Nbc nchini uliofanyika katika uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mkoani Tabora. Bao pekee la Ogochukwu Morice dakika ya 77 kwa penati liliimaliza Pamba Jiji ambao sasa imefikisha michezo…
Azam Fc Vs Pamba Jiji Kupigwa Septemba 14
Mchezo wa ligi kuu ya soka ya Nbc nchini baina ya Azam Fc dhidi ya Pamba Jiji sasa utachezwa siku ya Jumamosi Septemba 14 badala ya Ijumaa Septemba 13 katika uwanja wa Chamazi Complex uliopo jijini Dar es Salaam. Taarifa iliyotolewa na Bodi ya Ligi kuu nchini inasema kuwa mchezo huo umesogezwa mbele kutokana na…
Pamba Jiji Yaanza Kazi
Mshambuliaji Erick Okutu raia wa Ghana amejiunga na klabu ya Pamba jiji akitokea Tabora United kwa mkataba wa mwaka mmoja baada ya kumaliza mkataba na klabu yake hiyo ya zamani iliyompokea nchini msimu uliopita. Erick alifanikiwa kufunga mabao 7 msimu uliopita akiwa chini ya kocha Goran Kopunovic ambaye kwa sasa ni kocha wa Pamba Jiji…
Pamba Jiji Yaanza Upya
Klabu ya Pamba Jiji iliyopanda ligi kuu kuanzia msimu ujao imefanya maamuzi magumu ya kuachana na wachezaji wote sambamba na benchi la ufundi ambao wameipandisha timu hiyo katika ligi kuu kutoka katika ligi daraja la kwanza (Championship). Katika Taarifa iliyotolewa kwa umma inasema kwamba klabu hiyo imeachana na wachezaji sambamba na benchi la ufundi baada…
