Home Makala Pepe Hakuwa Chaguo Langu-Unai

Pepe Hakuwa Chaguo Langu-Unai

by Sports Leo
0 comments

Kocha Mkuu wa zamani wa klabu ya Arsenal ,Unai Emery amesema kuwa hakuwa anahitaji saini ya Nicolas Pepe kwani alikuwa hajakomaa na hawezi kutafuta matokeo binafsi ndani ya Uwanja isipokuwa alikuwa anaitaka saini ya Wilfried Zaha ambaye ni staa kwenye kikosi cha Crystal Palace.

Arsenal ilivunja rekodi ya usajili wa Pepe kutoka Lille kwa dau la pauni milioni 72, Agosti mwaka jana lakini amekuwa na uwezo wa kupwa na kujaa ndani ya klabu hiyo.

Unai alipigwa chini Novemba baada ya kudumu ndani ya Arsenal kwa muda wa msimu mmoja na nusu na nafasi yake kuchukuliwa na Mikel Arteta.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited