Home Makala Pjanic Agoma Kuibukia Manchester United

Pjanic Agoma Kuibukia Manchester United

by Sports Leo
0 comments

Nyota anayekipiga ndani ya klabu ya Juvevtus, Miralem Pjanic amegomea dili la kujiunga Manchester United na PSG licha ya habari kueleza kuwa ana mpango wa kusepa ndani ya Juventus kutokana na kukosa nafasi kwenye kikosi hicho.

Awali ilielezwa kuwa anaweza kujiunga na Manchester United kwa kuwa aliwahi kunukuliwa akisema kuwa anahitaji kuchezea ligi kuu ya England ila taarifa zinaeleza kuwa anataka kwenda Barcelona.

Pjanic amejiunga Juventus mwaka 2016 huku akifanikiwa kucheza jumla ya mechi 167 na kutwaa mataji sita makubwa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited