Home Makala Ratiba Ya Michuano Ya Afcon Ipo Hivi

Ratiba Ya Michuano Ya Afcon Ipo Hivi

by Dennis Msotwa
0 comments

Shirikisho la soka barani Afrika limetoa ratiba ya kufuzu michuano ya Afcon 2022 na kombe la Dunia 2022 kwa mataifa wanachama wa shirikisho hilo.

CAF walisogeza mbele michuano ya Afcon June 30 iliyotakiwa kufanyika nchini Cameroon kutokana na athari za janga la Corona hivyo kusogeza mbele kuanzia mwezi june 2021 hadi January 2022.

Kuanzia November 9-17 mwaka 2020 na march 22-30 mwaka 2021 ni mechi za kufuzu Afcon huku kuanzia May 31 hadi June 15, August 30 hadi September 7 pamoja na October 4-12 Mwaka 2021 ni mechi za kufuzu kombe la Dunia

banner

November 8-16 ni mechi za mtoano kupata mataifa matano yatakoyowakilisha Afrika nchini Qatar.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited