Home Makala Samatta Aanza Mazoezi Rasmi

Samatta Aanza Mazoezi Rasmi

by Sports Leo
0 comments

Mchezaji mpya wa Aston Villa aliyesajiliwa kwa dau la pauni milioni 8.5 akitokea KRC Genk Mbwana Ally Samatta ameanza mazoezi rasmi kwenye kikosi chake kipya.

Mbwana Samatta ameweka rekodi ya mtanzania wa kwanza kufanya kazi England kwenye timu inayoshiriki ligi kuu ambayo ni timu kubwa Uingereza Aston Villa.

Mtanzania mwingine aliyefanya majaribio mwanzoni mwa miaka ya 2020 ni Mrisho Ngasa katika kikosi cha West Ham United chini ya kocha Granfranco Zola lakini hakuweza kufanikiwa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited