Beki wa kulia ambaye pia ni raia wa Ureno,Nelson Semedo ametua Wolverhampton Wanderers kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea Barcelona.
Kocha wa Wolves,Nuno Espirito Santo amefurahi kutua kwa beki huyo kwani amekuwa akimsaka beki wa kujaza nafasi ya Matt Donerty aliyetua Tottenham mwezi uliopita.
Semedo ametua Wolves kwa kima cha bilioni 5.2 ambapo anakuwa mwanasoka ghali kusajliwa na klabu hiyo baada ya Silva aliyehudumiwa kwa Bilioni 4.9.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.
Usajili wa Semedo unakuwa wa tatu kwa Wolves tangu dirisha kubwa la usajili kufunguliwa ambapo wawili ni Fabio Silva akitokea Fc Porto na Ki-Jana Hoever akitokea Liverpool.