Home Makala Shikhalo Ajiunga na Kakamega Home Boys

Shikhalo Ajiunga na Kakamega Home Boys

by Sports Leo
0 comments

Golikipa wa zamani wa Yanga SC , KMC na Mtibwa Sugar SC, Farouk Shikalo amejiunga na klabu ya Kakamega Homeboyz ya nchini Kenya.

Kipa huyo wa zamani wa timu hizo za nchini Tanzania pamoja na Bandari Fc ya nchini Kenya aliachana na Mtibwa Sugar kwa makubaliano ya pande mbili na kuamua kupumzika kwa muda mpaka aliposaini dili na timu hiyo ya nchini Kenya.

Shikhalo anakumbukwa hapa nchini kwa umahiri wake wa kuokoa michomo mikali kipindi akiwa katika ubora wake katika klabu ya Yanga sc na Bandari Fc lakini aliporomoka kiwango ghafka kiasi cha klabu ya Yanga sc kumtema na kujiunga na Kmc kisha Mtibwa Sugar ambapo alidumu kwa muda kisha kuvunja mkataba huo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited