Home Makala Sibomana Apata Dili Rwanda

Sibomana Apata Dili Rwanda

by Sports Leo
0 comments

Patrick Sibomana ambaye hapo awali alikuwa akiitumikia Yanga Sc amesaini dili la mwaka mmoja kuichezea klabu ya Polisi Rwanda ya Rwanda.

Sibomana mwenye umri wa miaka 25 alimaliza mkataba wake ndani ya Yanga Sc msimu uliopita na alifanikiwa kutupia jumla ya mabao sita ndani ya ligi kuu bara kati ya mabao 45.

Nyota huyo ametua Polisi Rwanda inayoshiriki ligi kuu ya nchini Rwanda japo awali tetesi zilikuwa zinaelezwa kuwa angetua ndani ya SC Kiyovu.

banner

 

 

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited