Home Makala Simba Kukamilisha Raundi Ya Kwanza

Simba Kukamilisha Raundi Ya Kwanza

by Dennis Msotwa
0 comments

Mabingwa watetezi Simba Sc imekamilisha raundi ya kwanza ya ligi kuu bara siku ya jana ambapo iliwapa kichapo Polisi Tanzania cha mabao 2-1 katika uwanja wa Benjamin Mkapa.

Polisi Tanzania walianza kujipatia bao la kwanza dakika ya 22 kupitia kwa Sixtus Sabilo huku bao la kusawazisha kutoka Simba lilipatikana kupitia John Bocco dakika ya 56 na ushindi ulikamilika pale ambapo Ibrahim Ajibu alichekelea nyavu dakika ya 90.

Simba Sc wanaongoza nafasi ya kwanza wakiwa na pointi 50 kwenye mechi 19 alizocheza huku Polisi Tanzania ikiwa nafasi ya saba na pointi 30 katika mechi ya 19.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited