Home Makala Simba Queens, Mabingwa Ligi Ya Wanawake

Simba Queens, Mabingwa Ligi Ya Wanawake

by Sports Leo
0 comments

Simba Queens imeibuka na ushindi wa mabao 5 -0 mbele ya  Baobab Queens leo kwenye mchezo wa Ligi ya Wanawake uliochezwa Uwanja wa Uhuru.

Ushindi huo unaifanya Simba Queens kutangazwa kuwa mabingwa wa Ligi ya Wanawake kwa kuwa wamefikisha jumla ya pointi 53 ambazo hazitaweza kufikiwa na timu yoyote kwa sasa ndani ya ligi hiyo.

Simba Queens wamebakiwa na mechi mbili za kucheza ambazo ni dhidi ya Alliance Girls  na TSC Queens yote hiyo itakuwa kanda ya ziwa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited