Home Makala Simba sc Mguu Moja Makundi Cafcc

Simba sc Mguu Moja Makundi Cafcc

by Sports Leo
0 comments

Mchana wa leo droo ya Ligi ya Mabingwa Afrika imepangwa ambapo Simba sc itaanzia Raundi ya Pili kwa kucheza na mshindi wa mechi kati ya Power Dynamos (Zambia) dhidi ya African Stars (Namibia).

Simba sc itaanzia raundi ya pili tofauti na watani zao Yanga sc kutokana kufanya vizri zaidi katika miaka mitano iliyopita ambapo wamepatia alama nyingi kiasi cha kuwa katika nafasi ya tisa kwa ubora katika ngazi ya vilabu barani Afrika.

Endapo Simba sc itapata matokeo katika michezo hiyo miwili ambayo itaanzia ugenini na kumalizia nyumbani basi moja kwa moja itakua imefuzu hatua ya makundi barani Afrika.

banner

Timu hizo za Power Dynamos na African Stars hazionekani kuwa tishio mbele ya Simba sc kutokana na aina ya usajili waliofanya msimu huu pamoja na nafasi yao katika soka la Afrika.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited