Home Makala Simba Sc Vs Singida saa 2

Simba Sc Vs Singida saa 2

by Sports Leo
0 comments

Kufuatia kuanza kwa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani sasa mchezo wa ligi kuu baina ya klabu ya Simba sc dhidi ya Singida Fountain Gate Fc utachezwa saa mbili na nusu usiku badala ya saa kumi na mbili jioni ili kupisha muda wa Swala na kufuturu kwa mashabiki na wapenzi wa soka nchini.

Mchezo huo utafanyika katika uwanja wa chamazi jijini Dar es salaam ambapo klabu ya Simba sc imehamia kutumia uwanja huo baada ya uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro kufungwa kutokana na kungiwa na shirikisho la soka nchini TFF licha ya fanyiwa ukarabati mkubwa katika eneo la kuchezea.

“Mchezo wetu wa kesho dhidi ya Singida Fountain Gate utachezwa saa 2:15 Usiku ili kutoa muda watu kufuturu Yaani tunawasubiri Singida washibe futari ndo tukawakamue uje wa mtama waliokunywa” Ilisomeka taarifa iliyochapishwa katika mtandao wa instagram wa msemaji wa Simba sc Ahmed Ally.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited