Home Makala Simba sc Yaifanyia Umafia Yanga

Simba sc Yaifanyia Umafia Yanga

by Sports Leo
0 comments

Baada ya Awali kuifanyia umafia kwa Luis Miqquisone na Michael Sarpong klabu ya Simba sc imeifanyia umafia mwingine klabu ya Yanga baada ya kumsainisha beki wa pembeni wa Lipuli Fc David Kameta maarufu kama Duchu.

Awali Yanga iliripotiwa kumhitaji beki huyo na tayari ilianza mchakato wa kumsaninisha baada ya kocha Luc Eymael kumuhitaji lakini Simba imeingilia kati na kumsainisha beki huyo ikiwa na mapendekezo ya kocha Selemani Matola.

Taarifa zinadai Simba sc na Lipuli zimekubaliana na tayari mchezaji huyo amesaini mkataba wa awali wa miaka 3 na atatangazwa muda wa usajili ukifika.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited