Home Makala Suarez Atua Atletico Madrid

Suarez Atua Atletico Madrid

by Sports Leo
0 comments

Barcelona wamekubali kumwachia mshambuliaji wao,Luis Suarez kujiunga na washindani wakuu wa ligi kuu ya Uhispania (Laliga),Atletico Madrid.

Suarez ametumia miaka sita ndani ya Barcelona ambapo amecheza jumla ya mechi 283 akifunga mabao 198 huku akiwa miongoni mwa utatu wa MSN akiwa na Messi, yeye mwenyewe Suarez na Neymar ndani ya Barcelona.

Atletico wameweka mezani takribani milioni 448 kwa minajili ya huduma za Suarez ambazo pia zinaweza kuongezeka iwapo ataongoza kikosi hicho kupiga hatua zaidi kwenye soka ya klabu ya mabingwa  Ulaya (UEFA).

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited