Home Makala Sven Akanusha Taarifa Za Mitandaoni

Sven Akanusha Taarifa Za Mitandaoni

by Sports Leo
0 comments

Kocha mkuu wa Simba Sc,Sven Vandenbroeck amekanusha taarifa zilizoenea mtandaoni kuhusu nyota wake namba moja Meddie Kagere kuwa walipigana.

Sven amesema kuwa taarifa hizo si za kweli na hawezi kutumia nguvu kulizungumzia hilo kwakuwa halina maana kwani hajui wapi lilipotokea hadi kuzuka mitandaoni.

“Ninaloweza kusema ni kuwa sina tatizo na Meddie Kagere”alisema Sven baada yakutotaka mahojiano marefu.

banner
Sven ameshaanza kazi ya kukinoa kikosi chake cha Simba kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa ligi kuu bara msimu wa 2020/2021 unaotarajiwa kuchezwa Septemba 6, Uwanja wa Sokoine mkoani Mbeya dhidi ya Ihefu.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited