Home Makala Sven Ataja Mbinu Anazotumia Simba

Sven Ataja Mbinu Anazotumia Simba

by Sports Leo
0 comments

Kocha mkuu wa Simba Sc Sven Vandenbroeck ametaja kuwa uchezaji wa haraka wa kutumia mfumo wa 4-3-3 ndiyo silaha inayomfanya ang’ae na kupata matokeo mazuri katika mechi anazoenda kupambana nazo.

Sven amebainisha kuwa katka mechi tano za ligi alizosimamia Simba ameweza kishinda mechi nne na kuusanya pointi 12 huku akiwa ametoka sare na Yanga pia kupoteza mchezo mmoja kwenye kombe la mapinduzi wakiwa wamefungwa bao 1-0 na Mtibwa Sugar.

“Mfumo wangu wa 4-3-3 ambao ndio ninaoutumia kila mechi,na mara zote nacheza kwa mfumo huo ndio unaotupatia ushindi hadi sasa”alisema Sven Vandenbroeck kutoka Ubelgiji.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited