Home Makala Sweden Yataka Ligi Irejee

Sweden Yataka Ligi Irejee

by Sports Leo
0 comments

Vilabu vya Sweden vimeishtumu serikali yao kwa kutowapa ruhusa ya kurejea kwa ligi nchini humo kwani Ujerumani na England wameshaanza mazoezi na Bundasliga kuanza leo kucheza ligi yao rasmi.

Vilabu hivyo vinahitaji ligi hiyo irejee mwezi June 14 lakini serikali bado haijatoa ruhusa ya kuanza kwa ligi hiyo kutokana na kuhofia maambukizi ya virusi vya Corona.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited