Home Makala TFF yatoa Orodha ya Mawakala Wanaotambulika

TFF yatoa Orodha ya Mawakala Wanaotambulika

by Sports Leo
0 comments

Shirikisho la soka nchini(Tff) limetoa orodha ya mawakala wa wachezaji wanaotambulika na shirikisho hilo ndani na nje ya nchi kufanya biashara ya kuuza wachezaji wa soka nchini.

Awali wachezaji wengi wa ligi kuu nchini hawakua na mawakala ambapo walikua wanawakilishwa na mameneja katika kusimamia mikataba na usajili mpaka hapo shirikisho lilipoamua kuweka utaratibu rasmi wa mawakala wanauza wachezaji na ndani ya nchi ambapo shirikisho hutoa leseni kwa mawakala hao.

Kutokana na utaratibu huo kila mwaka shirikisho hutoa orodha ya mawakala wanaoruhusiwa kufanya shughuli hizo ambapo kwa mwaka huu orodha hiyo ni kama ifuatavyo katika Tangazo lilitolewa na Tff.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited