Screenshot 20250611 190017 Instagram

Yanga Sc Yaigomea TFF

Klabu ya Yanga sc imeendelea na msimamo wake wa kuhitaji fedha zake za ubingwa wa Kombe la shirikisho la Crdb nchini kwa misimu mitatu mfululizo licha ya kuitwa na shirikisho la soka nchini (TFF) kwa ajili ya kikao. Mapema hivi leo mtendaji mkuu wa klabu hiyo Andre Mtine alifika katika ofisi za Shirikisho hilo akiwa…

Soma Zaidi
Screenshot 20250611 141935 Instagram

Serikali Yajiweka Pembeni Sakata la Derby

Serikali kupitia kwa Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamis Mwinjuma imesema kuwa haiwezi kuingilia mgogoro unaoendelea kuhusu mechi ya Darby kati ya Simba na Yanga kutokana na kuwepo mamlaka inayosimamia soka nchini ambayo ni Shirikisho la soka (TFF) Mwinjuma amesema hayo bungeni jijini Dodoma mapema hii leo  wakati akijibu swali la nyongeza la…

Soma Zaidi
F3PlPd4XoAAHyOh

Karia Awalinda Mastaa wa Kigeni

Rais wa Shirikisho la mpira wa miguu nchini (TFF) Wallace Karia ametolea ufafanuzi suala la wachezaji wa kigeni na kueleza kuwa wachezaji wa kigeni wameongeza ushindani kwenye ligi yetu na kuchangia kukua kwa viwango vya wachezaji wa ndani Rais Karia amesema haya mapema hii leo wakati akizungumza katika tukio la Uzinduzi wa vifaa vipya vya…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks