Home Makala United Yaitengenezea Daraja Liverpool

United Yaitengenezea Daraja Liverpool

by Sports Leo
0 comments

Ushindi walioupata Manchester United wa maba 2-0 dhidi ya Manchester City umeitengenezea nafasi kubwa Liverpool ya kutwaa ubingwa kwani atakuwa na mechi mbili tu ili kutanga ubingwa wake wa kwanza ligi kuu England baada ya miaka 30.

Mchezo huo ulisimamiwa na refa kutoka England Mike Dean katika uwanja wa Old Trafford siku ya jana ,saa 1:00 usiku.

Manchester United walitoa bao la kwanza kupitia Anthony Martial dakika ya 30 huku dakika ya 90 kabla ya kipenga kulia Scott Mc Tominay aliongeza bao la pili.

banner

Manchester City inapoteza ubora wake wa kuwa nafasi ya pili ikiwa na pointi 57 ikifungwa na Manchester United ambayo ipo nafasi ya tano katika msimamo wa ligi kuu England yenye pointi 45.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited