Home Makala Yanga Yaanzia Unguja,Kabla Ya Kuivaa Coastal

Yanga Yaanzia Unguja,Kabla Ya Kuivaa Coastal

by Sports Leo
0 comments

Yanga Sc itakuwa na mchezo wa kirafiki kesho dhidi ya KMKM ya kisiwani Unguja,Zanzibar kwa ajili ya kujiandaa na raundi ya tano ya ligi kuu bara itakayochezwa Octoba ,3 uwanja wa Uhuru dhidi ya Coastal Union.

Mechi hiyo ya Kesho itachezwa katika kiwanja cha Azam Complex kilichopo Chamazi jijini Dar-es-salaam.

KMKM wamewasili leo jijini Dar-es-salaam na wamejiandaa vizuri kwaajili ya mchuano wa kesho dhidi ya Yanga,kwani nao wanajichua kwaajili ya ligi kuu Zanzibar inayotarajia kuanza hivi karibuni.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited