Home Makala Zahera Atoa Tamko Yanga.

Zahera Atoa Tamko Yanga.

by Sports Leo
0 comments

Kocha wa zamani wa yanga Mwinyi Zahera ametoa pongezi Yanga kwa usajili wa kiungo mpya kutoka Tp Mazembe Owen Bonyanga Ituku.

Zahera amesema kuwa anamfahamu vizuri sana mchezaji huyo hana mambo mengi anapokuwa uwanjani zaidi ya kuhitaji kupeleka mashambulizi mbele.

“Binafsi naamini safu ya ushambuliaji yanga ikiwa makini inaweza kushinda mabao mengi  kwani Owen Bonyanga Ituku sio mchoyo hata kutoa pasi za mwisho hivyo nawatabiria makubwa”Alisema Mwinyi Zahera.

banner

Alimalizia kwa Luc Eymael kocha mpya wa Yanga akiwashauli timu hiyo kumpa kocha huyo mahitaji yote kwani ni kocha mzuri aliyewahi kufundisha timu nyingi kubwa ikiwemo AS Vita kutoka Congo.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited