Home Masumbwi Undetaker Astaafu Mieleka

Undetaker Astaafu Mieleka

by Sports Leo
0 comments

Mwanamielekea Mark Calaway maarufu kama The Undertaker ametangaza kustaafu kwake mchezo huo kupitia video iliyoonyeshwa na Shirikisho la mieleka duniani(WWE)

Undertaker mwenye miaka 55, amecheza michezo ya mieleka kwa miaka 33 baada ya kujiunga na WWF kwa mara ya kwanza mwaka 1990.

Amesema kwa sasa hatarudi tena kwa kuwa hana lengo lingine la kutimiza katika mieleka.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited