Home Soka Adam Adam,Kibaya Kutua Jangwani

Adam Adam,Kibaya Kutua Jangwani

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Yanga sc ipo mbioni kuwasajili washambuliaji Adam Adam wa Jkt Tanzania pamoja na Jafary Kibaya wa Mtibwa sugar katika usajili wa dirisha dogo unaotarajiwa kuanza Desemba 15 mpaka Januari 15.

Kwa mujibu wa vyanzo vya ndani ya klabu hiyo kocha Cedric Kaze anahitaji mshambualiaji wa ndani ili kuongeza nguvu katika safu ya ushambuliaji ya klabu hiyo hivyo kamati ya usajili tayari imepeleka majina ya wachezaji hao kwa ajili ya kuchagua mmoja.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited