Home Soka Aggrey Morris Astaafu Stars

Aggrey Morris Astaafu Stars

by Dennis Msotwa
0 comments

Beki mkongwe wa klabu ya Azam Fc Aggrey Morris ametangaza kustaafu kuichezea timu ya Taifa ya Tanzania baada ya kuitumika timu hiyo kwa miaka kumi.

Beki huyo mwenye umri wa miaka 36 anastaafu kuichezea Taifa Stars baada ya kuitumikia takribani michezo 35 huku akifunga mabao mawili.

Aggrey ataagwa kwa heshima januari 10 katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Congo ambao utakua kwa ajili ya maandalizi ya michuano ya kimataifa ya Chan inayoanza hivi karibuni ambapo Tanzania inashiriki.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited